Makapuku Forum

Makapuku Forum

d5708d2ef3eff08c50d5a8a4df1a3436.jpg
 
Baada ya plan A ya kolabo ya Prof Lipumbavu, CVM na Msajili kuonekana imeshindwa kufanya kazi sasa wameanza kuleta Plan B ili kionekane ni chama cha vurugu
Hawa CIA wa Tanzania (TISS} nahisi km wanahusika kwenye hii Plan B
Jumapili njema
............
Yaani ili zengwe la hawa majamaa wanajuana wao kwa wao
 
Lukaku ni straika mzuri pia umri wake unambeba
Ibra wa sasa sio wa zamani anatkwa awe anaingizwa km sub na sio kucheza dk 90 maana hakabi anapoteza mipira kiboya akipata chance 9 anafunga goli 3 tu
...
Lakini josee ndo alimuona hafai pale Chelsea akamtoa kwa Everton ...sijui kwani wachezani ambao hawaamini huyu mreno waga wanamuaibisha

Inshort hawezi tengeneza mchezaji anataka ambao tayari wako on peak matokeo yake ndo hivo wazee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom