Makapuku Forum

Swali lako jepesi sana
 
Sasa mie nimekumiss zaidi ya sana. Apa nilikua macho juu juu nikiangalia utatokea upande gani mwenzangu
 
Rutta ni ngumu sana kuuelewa huu uzi, hukuna mada maalum japo kuna segment kama nukuu, je wajua, leo katika historia na magazeti, kwa kifupi hiki ni kijiwe cha watu kupiga stori tena chenye watu wapya kila wakati, kwa ufupi hapa utani na kutaniana ni kwingi na stori za mapenzi na michezo huwa hazikauki. Likes ndio nguzo muhimu za ushirikiano hapa kapuku au hata nje ya kapuku.
Lingine memba wa humu wengi wanafahamiana nje ya kapuku.
 
Inawezekana lengo lake ni kutupima IQ tu
Ila umemfafanulia vizuri
.....
 
hahahahah...... mkuuu nakusoma tu toka mwanzo
lengo lako ni nini hasa mi nifukuzwe kazi ama ...
Hata ukifukuzwa kazi potelea mbali kwa sababu bosi mwenye wivu yule wala sipati picha jinsi unavyoteseka japo unakula kwa macho. Achana na hiyo kazi twende tukalime nyanya katika vijito vya likijiji la maraha Koromije.
 
Nashukuru auntie.

i may sound awkward, lakini mar y kwanza naiona hii movie tumekaa mimi na wazazi wangu nililengwalengwa na machozi. Storyline yake inateka moyo katika namna ambayo unatamani kuingia na kumzabua 'ba mdogo'
inasikitisha sana mara ya kwanza kuiona nipo mdogo sana enzi ya mikanda mikubwa aisee halaf waliitoa kwenye dvd nakumbuka niliinunua hata sijui iko ap nitainunua tena
 
sasa leo umeingiaje
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…