Makapuku Forum

Amen mama mchungaji kwa sala
 


Hii umeitoa katika kitabu cha 'Mhubiri' Ecclesiates 9:11
 

Asante BlessedHope
 
Khaaaa namani usiku mwema mlale muote mizizi na matawi..

Maombi ya ulinzi wa Mungu ni muhimu sana...
Nawakubali sana Kaka zangu nyote...
Na warembo wa humu wote..

Valentina tunafungua ukurasa wetu mpya
Nakupenda..
Huyu Valentina umehamia naye huku Makapuku au umemkuta huku huku? Kama umemkuta huku basi we mkali kwani kuna watu kama Shedede wamehangaika kutafuta mabibi huku mpaka wameishia kuwa walinzi wa wake za watu. I salute you mkuu!
 
sawa sawa mjomba, komaa nalo, mimi yule mdada mjeshi kanipangia kulinda kipusi/paka chake, kina kelele hicho yaani silali
Nakomaaa bhinamu make nikizubaa ata auntie yako namkosa utamsikia eti anataka chib pafyumu ...mara nywele za Brazil

Ila kuna aka kaafande karembo jana nilipangiwa nako kachokozi kwelii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…