Makapuku Forum

Aisee kumbe huwa wanakuja kudukua huku
Vitu vingi hata "Mambo usiyoyajua kuhusu NK" Baada ya kuonekana ina mvuto mtu baadaye akaanzishia uzi na kuongezea mambo machache

Hata Leo ktk historia kuna mtu alidukua akaanzisha thread kabisa lakini mwisho maji yakazidi unga thread ikafa maana alikuwa anajiumauma
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…