1926 - Malkia Elizabeth wa II anazaliwa.
Ni Malkia wa Uingereza toka mwaka 1952 akidumu madarakani kwa miaka 65 na kumfanya kiongozi aliyekaa muda mrefu zaidi.
Ndio mkuu wa Jumuiya ya Madola.
Hao ndugu moja.
Mbona hatuwasikii Wamarekani wakitokwa povu na kupeleka majeshi UK ili kuuondoa huu utawala wa kurithishana
....
Nilimaainisha mambo serious mtu anaquote tu hana cha kuongea ila analazimisha tu aonekaneEbu kuwa wazi mkuu yawezekana wengine hawajui/hatujui kama wanakosea/tunakosea
TatizoNdo hivyo
Kuondoa stress muhimu ila iditufanye kuacha kujadili mambo yenye kulisha ubongo
Thread ni ya mambo mchanganyiko yaani tuiboreshe kiasi mtu akiwepo hapa apate kila kitu hadi kusahau km kuna Vingongo Forum
.........
Bitozi kajibu vyema sana, mpigie makofi tafadhaliTatizo wadau wa kuleta vitu adimu ndo hatupo in short
Imetoka moyo mkuu?Ongeraaa
Sawa mkuu ila pengine tuseme utani unapitilizaa ??Nilimaainisha mambo serious mtu anaquote tu hana cha kuongea ila analazimisha tu aonekane
Nafikiri kuna mtu ulimuona "umekula maharage ya wapi" n.k
Samtaimu mtu bora akae tu kimya
.......
Baba paroko tunakudai kipengele chakoTatizojina la forum statement yako umejibu vizuri sana, mambo mchanganyiko tozi nyangema wetu chukua tano
Najua mkuu, nina deni kubwa sana, kama mdau nina mengi ya kufanya ktk jukwaa letu, nitafanya kila jambo kwa wakati....Baba paroko tunakudai kipengele chako
Mama paroko vipi lakiniNajua mkuu, nina deni kubwa sana, kama mdau nina mengi ya kufanya ktk jukwaa letu, nitafanya kila jambo kwa wakati....
Ndo ivoTatizojina la forum statement yako umejibu vizuri sana, mambo mchanganyiko tozi nyangema wetu chukua tano
Alifululiza kuniquote kipuuzipuuziSawa mkuu ila pengine tuseme utani unapitilizaa ??
Jamaa yupo juuChizi hawezi kupiga gitaa, hahahah sema anaipiga gita kama genius mmoja hivi
Kweli mkuuNdo ivo
Alifululiza kuniquote kipuuzipuuzi
Yale yalikuwa matusi ila nikapotezea
Utani ni kawaida yetu
.......
Mama paroko kampendekeza ray kwakuwa ray ana pesa mingiMama paroko vipi lakini
Kabisa namkubali piaJamaa yupo juu
...
1992 - Isco anazaliwa.
Ni mwanasoka wa Real Madrid na timu ya taifa ya Spain.
HapanaBanned??
Si unajua mastori mengi hivyo sikuona comment yakoMkuu nilikuomba uendeleze hii
Ukapotezeaa
Poa mkuuKweli mkuu
Ila kingine tukumbuke tunapenda replay za kufa kiumbe mfano juzi 2k per day ...
Tusamehane hasa mm na mr T na wenzetu ila hakuna namna balozi