Umeongea vizuriNinachoshauri story ziendelee tu Ila kuhusu vipindi, magazeti, unbelievable fact, leo katika historia pamoja na picha, ratiba na matokeo viwanjani, Je wajua, (Mondray & Bitoz) Good music pamoja na sala ya asubuhi na jioni tuvipatie muda tu na umuhimu wake.
Kwani uongoohahahha hivi maneno unayatoa wapi
Wowotehivi upo upande gan ujue sikuelewi
Marekenisho ni UKAWATE
Heshima kubwa anayo Benjamin Franklin kwa kushiriki kwake kikamilifu katika Uhuru pia kufanikisha upatikanaji wa katiba ya Marekani.
Huyu na Ceorge Washington nani mwenye heshima zaidi?
.......
Tuko pamojaa
1966 - Rastafari Movement: Haile Selasie anaitembelea Jamaica kwa mara ya kwanza katika harakati zake za kirastafari.
Tujitahidi tu kujilimit kuna muda mtu anakuwa bored hivyo ataingia huku afurahi na familia yake.Umeongea vizuri
Ukisoma kwa makini utaelewa nilichosema kwamba "kitu kikizidi ni sumu" sijasema stori zisiwepo
Unaweza kuendelea kufafanua
....
Asante mkuuLEO KATIKA HISTORIA:
Niwatakie siku njema.
Bila kusahau nukuu ya sikuNinachoshauri story ziendelee tu Ila kuhusu vipindi, magazeti, unbelievable fact, leo katika historia pamoja na picha, ratiba na matokeo viwanjani, Je wajua, (Mondray & Bitoz) Good music pamoja na sala ya asubuhi na jioni tuvipatie muda tu na umuhimu wake.
hatar sana hawa watuaisee
Heshima kubwa anayo Benjamin Franklin kwa kushiriki kwake kikamilifu katika Uhuru pia kufanikisha upatikanaji wa katiba ya Marekani.
Umri mkubwa pamoja na kuumwa kulimfanya ashindwe kuwa Rais, hivyo nafasi ikaenda kwa George Washington.
PamojaAsante mkuu
Asante kiongozi kwa ukumbusho ...twende kwenye madaZa asubuhi waungwana
Nafikiri km wiki mbili zilizopita "tulikubaliana" kuirudisha hadhi ya thread kwa kuipendezesha kwa kuleta vipindi vinavyovurua....wapo walioonyesha msisitizo kwa kuleta vitu vizuri km One yy kuanzisha cha muziki. Lee jaanzisha facts, Transcend kuanzisha nukuu Mimi pia nimejaribu kuleta Top Ten na Mambo usiyoyajua muda wa Joni/ usiku bila kumsahau Nyagei na update zake
Lakini cha kushanfaza mwitikio ni mdogo watu tumejisahau tunapiga tu stori za mapenzi asubuhi hadi usiku bila much OK a na mtu akileta kipindi anapuuzwa tu na mtu anaamua kuquote kwa masihara tu
Humu yupo watu wa aina zote au taaluma meal in bal i tujitahidi kuelimishana, pamoja na kufahamishana mambo mbalimbali yenye faida na tuwe tunapiga stori pia
Kumbukeni too much is harmful matokeo yake thread inadharaurika na kuonekana tu km ya watoto wa Primary
Nakaribisha maoni ya kujenga kukosolewa maana thread ni yetu sote na usitoshe wengine hupgopa jutoa maoni kwa kuepuka kuonekana wana midomo
Turekebishane kwa upendo
Karibuni
.....
Wote wawili wana wadhifa mmoja, kama waasisi wa Taifa hilo.
Siku zote nilifikiri Washington ndio baba wa Taifa la Marekani maana hutajwatajwa sana
.....
Tuwe na Siku njema wakuu
1993 - Mahakama Kuu ya Bolivia yamhukumu Dikteta wa zamani wa Nchi hiyo Luis Garcia Meza kwenda jela miaka 30 bila msamaha kwa kosa la uhalifu dhidi ya binadamu, ufisadi pamoja na kudharau na kutofata katiba ya Nch hiyo.
Kisheti hueleweki siku hiziMorning waku mu muvike salaama huko..