Makapuku Forum

Tatizo la huku mabinti hawazidi wanne na wote wana minjemba tena mikakamavu na yenye wivu ugusao mawingu. Waoaji tupo lakini waolewaji hakuna lakini hapo hapo mabinti wanalia eti waoaji hakuna. Hii naiita Makapuku Paradox...
Lakini mkuu ulishakata shauri kwamba utawarudia mabinti wa Kinyarwanda inakuwaje uwe na wivu juu ya wa humu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…