Emmyguy asante yaani huyu jimena nna mpenda balaa, asiponikubali cjui kama ntapata mwingine kama yeye. Halafu ana mkono wa baraka na kibali kwa watu so kanisa litajaa na jamii itafaidi huduma yetu jani
Kwa hili wanaloendelea kutufanyia waarabu nitaleta hoja binafsi hapa ya kuondoa ubalozi wetu huko Misri,kuwarudisha Simba Misri kwa kuwa nimenarrate mashabiki wengi wa simba hapa wamefurahia sisi kutolewa bila kujali kwamba waarabu wa Misri sio shemeji zao!