Msameheni basiHajawahi hata kusema hello hapa huyo Lara
Pamoja sana baba mtumishi.....Naona maendeleo si mabaya ila ongeza kasi kidoooogo kitaeleweka tu...Nakukubali sana mkuu pambana
Familia yako haijambo?Safi tu braza
Familia yangu iko poa. Sijui wewe na mkeoFamilia yako haijambo?
Mie sijambo.Asante mkuu,uko poa lakini?
Hatasijui mkuu,tumeachanaMie sijambo.
Shem mzima lakini?
Hee..! Tangu lini hiyo tena?Hatasijui mkuu,tumeachana
Msalimie sana shemeji yangu
Leo siku ya tatu.Hee..! Tangu lini hiyo tena?
Aisee mkuu pole sanaNimekuwa na mapenzi nayo ya dhati kabisa toka uvunguni mwa moyo wangu,na mapenzi haya yalianza zamani sana wakati mama akiwa msichana alipokutana na baba kipindi hicho akiwa mvulana akitoka kuwaangalia...nimepanda nayo nimeshuka nayo na kila ikifanya mazuri au mabaya bado niliendelea kuipa sapoti, ila kwa walichofanywa jana imeniuma sana na kwa moyo wa dhati kabisa bila ushawishi wa mtu,tena nikiwa na akili zangu timamu nachukua maamuzi magumu ya kuendelea kuipenda Yanga na kuendelea kuwa shabiki wake kindaki ndaki!
Sijakubali wala niniAsante bro najua jimena amekubali ndo maana kanyamaza, c wawajua hawa viumbe huwa wanakubali kwa kutikisa kichwa tu ee