Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Asante bro najua jimena amekubali ndo maana kanyamaza, c wawajua hawa viumbe huwa wanakubali kwa kutikisa kichwa tu eeHata mie naunga mkono hoja.
Itakuwa hivyo
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante bro najua jimena amekubali ndo maana kanyamaza, c wawajua hawa viumbe huwa wanakubali kwa kutikisa kichwa tu eeHata mie naunga mkono hoja.
Itakuwa hivyo
![]()
![]()
![]()
![]()
Ya kale yamepita nataka mapya, ameniruhusu mwenyewe japo nakumbuka alivyo mt..m zaidi ya mcharoMtumishi unamaanisha nin hapa kwani nini kimetokea baina yako wewe na shemeji wetu Patience123 ama unataka kuwa na wake zaid ya mmoja?
Uzi huo nimepitapo jana, nikaweka nembo yangu pale.Lara 1 kaniomba niwashtue mkachangangie mawazo yenu bila ushabiki
Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda
..........
Wacha niendelee kufuatilia hii hadi nione jibu la jambilo na jibu hilo alione shemeji yangu Patience123Hivi hapa unanitongoza au![]()
![]()
Morning to you too Bro..Goooodmorning
Hope uko poaMorning to you too Bro..
Niko poa sana ndugu yangu...Tunakimbiza mwenge tu...Hope uko poa
Mdogo mdogo tuNiko poa sana ndugu yangu...Tunakimbiza mwenge tu...
Sasa mtag aje aone makosa yake ili ajirekebishe maana hakuna namna sasaHataweza kasi yangu, hataki kupanda gari yetu anasema ni matumizi mabaya ya pesa, hataki kula hotelini anataka mama ntilie tukiwa out naye, hataki warembo waje kupata huduma, hataki nguo nzuri nami ni pastor wa kisasa naenda na wakati, so nimemtimua, nakuhitaji JIMENA
Emmyguy asante yaani huyu jimena nna mpenda balaa, asiponikubali cjui kama ntapata mwingine kama yeye. Halafu ana mkono wa baraka na kibali kwa watu so kanisa litajaa na jamii itafaidi huduma yetu janiNahitaji na ningependa kuona vile mtakavyokuwa pamoja na Mkuu Jimena.
Hajawahi hata kusema hello hapa huyo LaraLara 1 kaniomba niwashtue mkachangangie mawazo yenu bila ushabiki
Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda
..........
Nakukubali sana mkuu pambanaNiko poa sana ndugu yangu...Tunakimbiza mwenge tu...
Hata mimi hili tatizo ninalo, itabidi nioge hata maji ya maiti ili nisafishe nyota.
![]()
![]()
![]()
![]()
ndo itakufanya ukumbukwe ikiwa kwingine hakujazaa matundaMchungaji vipi.Nakukubali sana mkuu pambana
Mkuu. Karibu tena tulisongeshe katika siku hii nyingine.Nimerudi wakuu
Asante mkuu,uko poa lakini?Mkuu. Karibu tena tulisongeshe katika siku hii nyingine.