Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hataweza kasi yangu, hataki kupanda gari yetu anasema ni matumizi mabaya ya pesa, hataki kula hotelini anataka mama ntilie tukiwa out naye, hataki warembo waje kupata huduma, hataki nguo nzuri nami ni pastor wa kisasa naenda na wakati, so nimemtimua, nakuhitaji JIMENA
Sasa mtag aje aone makosa yake ili ajirekebishe maana hakuna namna sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom