sizzya007
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 773
- 2,422
Hapo sawa , manake nilitaka kushangaaAnachunga inzi😀😀😀
We jamaa asee you are about to trigger WW3
Kwahiyo yule mama mchungaji humtaki tena au unaongeza mpango wa kando?Kazi yangu ni ngumu na wanakuja watu wa aina mbalimbali wengine wanataka ushauri faraghani, so nahitaji mrembo mkalii na mwenye akili kubwa kama jimena ili nitulie kabsaa ibaki kazi moja ya kuhudumia jamii.
Jimena nielewe mrembo
Pool ndio nini mkuu?Makapuku mupoooo hope mu wazima na tunalisongesha grudumu la maendeleo.
UJUMBE WA LEO
Makapuku wote tusicheze pool asubuhi.tufanye kazi kwa bidiii.
Ahaaa unataka kunirushie pepo eee, ushindwe na ulegeeUnahitaji maombi pepo mbaya kakutembelea mkemeee
Hataweza kasi yangu, hataki kupanda gari yetu anasema ni matumizi mabaya ya pesa, hataki kula hotelini anataka mama ntilie tukiwa out naye, hataki warembo waje kupata huduma, hataki nguo nzuri nami ni pastor wa kisasa naenda na wakati, so nimemtimua, nakuhitaji JIMENAKwahiyo yule mama mchungaji humtaki tena au unaongeza mpango wa kando?
Lara 1 kaniomba niwashtue mkachangangie mawazo yenu bila ushabiki
Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda
..........
Goooodmorning

Nimempelekea ujumbe km ulivyoMwambie aje atusalimie kwanza!! huyo ni mkongwe ambaye hajawai kutia mguu humu😡
Hata mimi hili tatizo ninalo, itabidi nioge hata maji ya maiti ili nisafishe nyota.

Nimempelekea ujumbe km ulivyo
Nimescreenshot
.................
Hata mie naunga mkono hoja.Kazi yangu ni ngumu na wanakuja watu wa aina mbalimbali wengine wanataka ushauri faraghani, so nahitaji mrembo mkalii na mwenye akili kubwa kama jimena ili nitulie kabsaa ibaki kazi moja ya kuhudumia jamii.
Jimena nielewe mrembo
Itakuwa hivyoHivi hapa unanitongoza au![]()
![]()

Sijaonesha jina lakoHahaha....unataka unishushie mchambo nn?!😀
Achana na yule kichaa Lara mange kichaa kutumwa kazi kwa vipesa mbuziHahaha....unataka unishushie mchambo nn?!😀
Mtumishi unamaanisha nin hapa kwani nini kimetokea baina yako wewe na shemeji wetu Patience123 ama unataka kuwa na wake zaid ya mmoja?Kazi yangu ni ngumu na wanakuja watu wa aina mbalimbali wengine wanataka ushauri faraghani, so nahitaji mrembo mkalii na mwenye akili kubwa kama jimena ili nitulie kabsaa ibaki kazi moja ya kuhudumia jamii.
Jimena nielewe mrembo