Makapuku Forum

Makapuku Forum

44cf93354c78defa528b9245744b3dda.jpg
de0300ea780465f7550e5303b41b3e4f.jpg
3ab88db045c7031e4a9248b59735160d.jpg
f52a084e4e9826b7c9013720d3af7afc.jpg
8cd4d4f9aefbf78dd8b680798f1242db.jpg
 
Kwahiyo yule mama mchungaji humtaki tena au unaongeza mpango wa kando?
Hataweza kasi yangu, hataki kupanda gari yetu anasema ni matumizi mabaya ya pesa, hataki kula hotelini anataka mama ntilie tukiwa out naye, hataki warembo waje kupata huduma, hataki nguo nzuri nami ni pastor wa kisasa naenda na wakati, so nimemtimua, nakuhitaji JIMENA
 
Kazi yangu ni ngumu na wanakuja watu wa aina mbalimbali wengine wanataka ushauri faraghani, so nahitaji mrembo mkalii na mwenye akili kubwa kama jimena ili nitulie kabsaa ibaki kazi moja ya kuhudumia jamii.
Jimena nielewe mrembo
Hata mie naunga mkono hoja.
Hivi hapa unanitongoza au
Itakuwa hivyo
 
Kazi yangu ni ngumu na wanakuja watu wa aina mbalimbali wengine wanataka ushauri faraghani, so nahitaji mrembo mkalii na mwenye akili kubwa kama jimena ili nitulie kabsaa ibaki kazi moja ya kuhudumia jamii.
Jimena nielewe mrembo
Mtumishi unamaanisha nin hapa kwani nini kimetokea baina yako wewe na shemeji wetu Patience123 ama unataka kuwa na wake zaid ya mmoja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom