Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pia wanaamini dini zimeletwa na meli tu hivyo
*Hakuna kanisa wala msikiti
*Hakuna cha krismass wala maulid

Ninachoeapendea Wakorea ni misimamo na kwamba wanaishi maisha yao waliyojichagulia
......
Lakini watu wanaswali na kusali majumbani mwao. Imani siyo lazima majengo.

Naona vice prezidaa wa Trump anachimba mikwara non stop. Pengine itabidi wajiandae kwa "demokrasia" ya lazima - American style!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom