Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mungu awatangulieAmen mama mchungaji kwa sala
Member wa familia ya Nyagei wapo safarini kuelekea Tukuyu msibani
Mungu awatangulieAmen mama mchungaji kwa sala
Member wa familia ya Nyagei wapo safarini kuelekea Tukuyu msibani
hili gazeti ujue haliogopi kabisa
kazi kweli kweliMichezoni..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
asante baby kwa magazeti ubarikiwe sana penda we mingiiiiiiWakuu tuwe na Siku njema ...
huko kijiweni ni wapiAsante mkuu kwa updates mubashara ...ongera Samatta' team Europa yenu ...
Na Arsenal naona anajitahidi awezavyo kumfuata rafiki yake kipenzi man u ila yote tisa kumi Alexis Sanchez akitaka mshahara mnono ni haki yake ..... Ila pia akitaka kuondoka kwenda kutafuta mikono juu ni halali yake pia.... Mesut Ozil akitaka kuondoka ni halali kwake, ila pia akigoma kusaini kandarasi mpya ni haki yake pia..... Mzee Wenger akiomba mkataba mpya ni halali yake, ila pia akibebewa mabango ni haki yake pia. Watu wanataka mataji, wachezaji wanataka mataji ila mabosi wanamtaka mzee Wenger.
Kuna wakati akili zetu zinajidanganya kweli ila ukweli ni kwamba Arsenal ni Arsen wewe kubali wewe kataa. Mabosi wameshakubali Arsenal iwe halali yake na mashabiki hawamtaki wakiamini Arsen sio haki ya Arsenal.....
Endelea kujiuliza kwanini wazungu wamemjumuisha Alexis katika PFA player of the year list..... Alafu unalala wakati unajua uhalisia na ugumu wa michezo ya jumatatu.....
Vita ya top four sio mchezo.... Wacha tulaumiane maana huu Msimu ni wa lawama tu.
Tukutane kijiweni kwetu wakuu
shikamooAsante Lee kwa magazeti
ahhahhahah
PanandiIndimkafu
Gwalembuka
hamia ukawahabari yenu makapuku nawaona... mimi naomba mnipe mke humu hahahaha
hahahaBhinamu unanionea kabisaa
Good morning![]()
Goodmorning, good people
wapi hukoOngeraa kwenu mkuu sisi hutujabatika
Tupo mkuuMakapuku
Mungu Baba Mwenyezi asante sana kwa kutuamsha tukiwa salama,tunakuomba utubariki siku ya leo ikawe njema ya kukupendeza,tunawaombea wagonjwa,wafiwa,wanaouguza,wenye changamoto yoyote Baba ukawape wepesi,tunawaombea wasafiri Mungu ukawalinde vyombo vyote vya usafiri majini,nchi kavu,angani viwe salama,Bariki kazi za mikono yetu Baba ili kila mmoja apate riziki halali,tunaombea ndoa zote,uchumba na mahusiano yawe ya amani.Baba tunakushukuru kwa kuwa utafanya sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen

Mama kwaitoAmina
Nawe pia barikiwa
Liogope ninihili gazeti ujue haliogopi kabisa
Mungu awasaidie wafike salamaAmen mama mchungaji kwa sala
Member wa familia ya Nyagei wapo safarini kuelekea Tukuyu msibani
Kwelii wewe pasua kichwa ....kazi kweli kweli