Makapuku Forum

Makapuku Forum

1969 - Sirhan Sirhan anatiwa hatiani kwa kumuua Robert F. Kennedy, mdogo wa Rais wa zamani wa Marekani John F. Kennedy.

Raia huyo wa Palestina anatumikia kifungo cha Maisha kwa kosa hilo.

Robert F. Kennedy aliuwawa huko Los Angeles alipokuwa katika kampeni za Urais.

Kufuatia kifo hiko, idara ya ulinzi kwa viongozi nchini Marekani( Secret Service ) ikaamua kuweka ulinzi kwa wagombea wa nafasi ya Urais kila uchaguzi mkuu unapofika.
600b8a6e44a6456cfea583be496ae8fc.jpg
5e59fbc85cfe37466dfc532ece36ddb5.jpg
c354decdad1ec6741010c3126706d698.jpg
b048eb4b39678f0b7bee7ed9d95b6353.jpg
Sniper

...
 
Mkorea Bado hana silaha za kubwa kiasi iko km unavyofikiria
Lkn yupo kwenye process za kuwa na silaha nzito zaidi
Kila kitu kinachofanyika korea kinajulikana na nchi za magharibi

Nakumbuka hata Sadam hussein alikuwa jeuri kuliko hata huyu wa irani na North Korea
Lkn tunajua kilichotokea
Usiendekeze ubishi fuatilia mtiririko wa mada
Silaha kubwa ya USA ni propaganda kupitia CIA...Nyie mnaoamini anashindaga vita kwa hayo masilaha yake makubwamakubwa mnajidanganya hamjui mambo ya nyuma ya pazia
Naishia hapa
.......
 
Weka nyama mkuu tupate mawili matatu
Bay of Pig Invansion

17-19 April 1961.

SEHEMU YA KWANZA.

Kwanza kabisa taifa la Cuba na Marekani walianza uhasama wa kisiasa wakati wa vita ya Spanish-ameican war mwaka 1898.

Cuba ilikuwa ni miliki/koloni la wahispania kwa miaka mingi ktk karne ya 19.

Baada ya hapo Cuba ilikuwa miliki ya marekani hadi Cuba ilipopata huru 20/05/1902 kutoka kwa wamerekani na wakamuweka mcuba-mzaliwa marekani Bw. Tomas Palma kuongoza Cuba kwa mara ya kwanza.

Baada ya hapo Cuba ikaja kupata vijana kama Castro wakaondoa mapandikizi ya wamarekani serikali.

Back to the Topic sasa..



Mwaka 1959 marekani chini ya Dwight D. Eisenhower ilikuwa kwenye Vita baridi ambayo kipindi hiki mirengo ya kisiasa ya kibepari na kikomunist ilionyesha tofauti zao sana..

Sasa Cuba chini ya Castro ilifanikiwa kutaifisha mashamba ya kahawa, mashamba ya miwa na viwanda vya wamarekani nchini cuba ila kubwa zaidi ni kuwa Cuba iliweza kujenga ushirika mkubwa na nchi za umoja wa kisovieti ambazo ndio zilikuwa vitani na marekani

kwa hiyo marekani alitaka ampindue Castro manake anakuwa threat sasa..

CIA chini ya mkurugenzi wa wakati huo Bw. Allen Dulles wakaja na mpango wa kumpindua Fidel castro na serikali yake...

Inaendelea sehemu ya 2..
 
Bay of Pig Invansion

17-19 April 1961.

SEHEMU YA KWANZA.

Kwanza kabisa taifa la Cuba na Marekani walianza uhasama wa kisiasa wakati wa vita ya Spanish-ameican war mwaka 1898.

Cuba ilikuwa ni miliki/koloni la wahispania kwa miaka mingi ktk karne ya 19.

Baada ya hapo Cuba ilikuwa miliki ya marekani hadi Cuba ilipopata huru 20/05/1902 kutoka kwa wamerekani na wakamuweka mcuba-mzaliwa marekani Bw. Tomas Palma kuongoza Cuba kwa mara ya kwanza.

Baada ya hapo Cuba ikaja kupata vijana kama Castro wakaondoa mapandikizi ya wamarekani serikali.

Back to the Topic sasa..



Mwaka 1959 marekani chini ya Dwight D. Eisenhower ilikuwa kwenye Vita baridi ambayo kipindi hiki mirengo ya kisiasa ya kibepari na kikomunist ilionyesha tofauti zao sana..

Sasa Cuba chini ya Castro ilifanikiwa kutaifisha mashamba ya kahawa, mashamba ya miwa na viwanda vya wamarekani nchini cuba ila kubwa zaidi ni kuwa Cuba iliweza kujenga ushirika mkubwa na nchi za umoja wa kisovieti ambazo ndio zilikuwa vitani na marekani

kwa hiyo marekani alitaka ampindue Castro manake anakuwa threat sasa..

CIA chini ya mkurugenzi wa wakati huo Bw. Allen Dulles wakaja na mpango wa kumpindua Fidel castro na serikali yake...

Inaendelea sehemu ya 2..


KAPUKU forever ...waiting 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom