Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
mngetufunga basHivi wewe umefungwa mara ngapiii ...na tungewafunga mngelilalamika sisi waonevuu
mngetufunga basHivi wewe umefungwa mara ngapiii ...na tungewafunga mngelilalamika sisi waonevuu
Hujui kwetu bado ni special one??hahahha acheni utetezi wa kitoto
Utaonaaahaturudi hiyo nafasi
hahahha acha kuongea sanaHujui kwetu bado ni special one??
Hivi kweli sisi watu gani tukubari tuwapige mara 3 kwa mkupuo
1961 - Bay of Pigs Invasion: Kundi la Wacuba waliokuwa uhamishoni linaingia ndani ya Bay of Pigs kwa ajili ya kumuondoa Fidel Castro.
Kundi hilo lililokuwa linafadhiliwa na na kufundishwa na CIA lilichemsha katika operesheni hiyo.
Salamu gani unaniamkia ukiwa barhahahhah kwahiyo unakataa sijapiga magoti huku nimekuamkia
Nyie mnaongoza ninikuongoza ligi sio issue ujue
Kufa haufii cha moto utakiona ....ngoja mushenga aisainii uoneMmh mm si nakufwa jamaan au nikifa utafurahi usinifanyie hivyo nimeshajifunza
sio bar n dukaniSalamu gani unaniamkia ukiwa bar
hahhahah tunaongoza kuwafunga chelsea halaf naomba jezi yakoNyie mnaongoza nini
Sisi tuna moyo wa huruma alafu wewe mpira si uliisha jana mbona hukusema na tulikuwa wote humumngetufunga bas
Kwahiyo USA pekee ndo anayo hiyo teknolojia?
Tupunguze kuwapa vichwa Wamarekani kwa kila kitu...tukubali hii siyo enzi ya ujima kwamba wao pekee ni wajuzi wa kila kitu
....
cha moto nimekiona sana aisee bado kufwaa tu mpk nimemlilia dogo alikua anacheka hana mbavuKufa haufii cha moto utakiona ....ngoja mushenga aisainii uone
Haswaa mkuu. Halafu huwa hana ubavu wa kwenda vitani pekee yake bila msaada wa Nato.![]()
Ndo propaganda nilizoongelea![]()
Marekani kamwe huwa hawezi kushinda vita mahali penye wananchi wazalendo na wanaojitambua
Hata kwa mapanki propaganda haziwezi kutumika kwahiyo USA hana chake
....
Niko poa rafiki, habari za IlejeUko poa mkuu?
Hivi kama sikuwapenda bure ninihahahha acha kuongea sana
marcus rashford na ander herrera kingineSisi tuna moyo wa huruma alafu wewe mpira si uliisha jana mbona hukusema na tulikuwa wote humu
Kwanza hujui nani walifunga unaongeaa tu

Akili sio zako kwanza usingelienda church baraka zote umezimalizia kwenye pombe ...au tunashindanasio bar n dukani
natania banaAkili sio zako kwanza usingelienda church baraka zote umezimalizia kwenye pombe ...au tunashindana
Etiii mnaongoza ....tuliwafunga vinne mwanzoni ...tukawatoa fa ...mlitaka tuwarudishe mtaa wa sita...jeziii sikupiiihahhahah tunaongoza kuwafunga chelsea halaf naomba jezi yako