Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wengi tunawajua waTuareg kama kabila linalopigana kujitenga katika nchi ya Mali, walichukua sehemu kubwa sana ya Mali na kutangaza kujitenga. Hili sio la kujadili muda huu.

Hapa namleta mkung'uta gitaa maarufu kutoka pande hizi Omar al- Moctar almaarufu Bambino, huyu ni maarufu duniani hasa kwa muziki wake wa kiharakati.

Hapa muone akicharaza gitaa kwa umahiri kiasi cha kufananishwa na Jimi Hendrix.

Hii ni video ya YouTube, akiwa ameruhusiwa na Sultan kuperform.

Kuna 'shehe' mmoja namfananisha na ustaadhi Nyundo wa Rufiji/Kibiti

 
Asante nashukur na kwako pia

Today is your birthday!

May you receive even more blessings than you ask for, and may all good things continue to come your way.

Life is what you make of Keep making yours count each and every day. The skies are clear for you at all times. Happy Birthday
Thanks

Although it's my son's birthday also
 
Wengi tunawajua waTuareg kama kabila linalopigana kujitenga katika nchi ya Mali, walichukua sehemu kubwa sana ya Mali na kutangaza kujitenga. Hili sio la kujadili muda huu.

Hapa namleta mkung'uta gitaa maarufu kutoka pande hizi Omar al- Moctar almaarufu Bambino, huyu ni maarufu duniani hasa kwa muziki wake wa kiharakati.

Hapa muone akicharaza gitaa kwa umahiri kiasi cha kufananishwa na Jimi Hendrix.

Hii ni video ya YouTube, akiwa ameruhusiwa na Sultan kuperform.

Kuna 'shehe' mmoja namfananisha na ustaadhi Nyundo wa Rufiji/Kibiti


Bravo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom