Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
MmhHahaha lazima liwepo
MmhHahaha lazima liwepo
Ndiyo ana branch, karibu uje ugongwe neno la uzima utashangaa kama hujawahi pandishwa cheo utashanga wiki ijayo unagongwa umeneja, kama ndoa yako imeingia pepo mchafu basi atang'oka, kama miradi yako imekwama basi njoo chukue neema ya bwana utafanikiwa hallelujahNilisali sana kwa mwamposa kwani huko ana branch
Ameen Baba paroko umenigusa aiseeNdiyo ana branch, karibu uje ugongwe neno la uzima utashangaa kama hujawahi pandishwa cheo utashanga wiki ijayo unagongwa umeneja, kama ndoa yako imeingia pepo mchafu basi atang'oka, kama miradi yako imekwama basi njoo chukue neema ya bwana utafanikiwa hallelujah

Bwana weeee mm nilijua nimemkoti leehahahhh kwan mama mchuchu ndio anawawekaga
Kwani uongooLakini umesema wewe
![]()
![]()
![]()
![]()
Hilo goma linapogwa kati hata hauna habarHahaha
Huyo dj sitomlipa
Amina amina sasa kutakua na semina za wanandoa usikose, mapepo wachafu, majini mahaba kama limekuingia litakemewa, kama mpenzi wako hakufikishi au humfikishi basi jiandae kumfikisha na kufikishwa kileleniAmeen Baba paroko umenigusa aisee![]()
Mlinzi kapoteeaa ila nyieKibichi bhana
Halafu pilau na mayonnaise wapi na wapi..
Wanaume wa dar bhana
HahahaAmeen Baba paroko umenigusa aisee![]()
Acha ukorofi sakayo..Umekaa kama nnya
AaamenNdiyo ana branch, karibu uje ugongwe neno la uzima utashangaa kama hujawahi pandishwa cheo utashanga wiki ijayo unagongwa umeneja, kama ndoa yako imeingia pepo mchafu basi atang'oka, kama miradi yako imekwama basi njoo chukue neema ya bwana utafanikiwa hallelujah
Mc shunie katika ubora wako uku umetupia kimshono chakohahahha dj mpk akiwa ukumbini kashalipwa hela yake ila nahisi swala la dj na Mc lee atalipa ili nyimbo yake tu ipigwe
MmmmhHilo goma linapogwa kati hata hauna habar
AaamenAmina amina sasa kutakua na semina za wanandoa usikose, mapepo wachafu, majini mahaba kama limekuingia litakemewa, kama mpenzi wako hakufikishi au humfikishi basi jiandae kumfikisha na kufikishwa kileleni
Naonyeshwa hapo kazini kwenu kuna mdada mmoja hivi, ameweka kitu kwenye kiti chako unachokalia ili usipandishwe cheo, njoo kanisani nitakemea in Jesus name na yatamrudia yeye mwenyeweAaamen
Mie hapo kwenye cheo umenigusaa
HahahaMlinzi kapoteeaa ila nyie
Hivi alijibu yuko siliasi na akili zakekwenye chips dar ndio habari ya mjini
Samahani shemAcha ukorofi sakayo..
Huo ndio umenikuza mm mboga ikiwa mukubhii
AaamenNaonyeshwa hapo kazini kwenu kuna mdada mmoja hivi, ameweka kitu kwenye kiti chako unachokalia ili usipandishwe cheo, njoo kanisani nitakemea in Jesus name na yatamrudia yeye mwenyewe