Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
1907 - Joseph Armand Bombardier anazaliwa.
Mfanyabiashara kutoka nchini Canada na mwanzilishi wa kampuni ya ndege ya Bombardier.
1927 - Papa Benedicto wa 16 anazaliwa.
AmenAhsante mkuu
Na kwako pia
Asante![]()
Happy Easter, Watu wa Mungu
1960 - Rafael Benitez anazaliwa.
Kocha wa zamani wa Liverpool, Real Madrid, Inter Milan na sasa Newcastle United.
1973 - Akon anazaliwa.
Mwanamuziki wa Kimarekani mwenye asili ya Senegal.
Newcastle wanarudi tena EPL. Ndio timu pekee inayoshabikiwa na viongozi wengi wa Serikali ya Uingereza akiwemo Malikia Elizabeth.![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa hivi yupo Newcastle Utd anakimbiza Championship ile mbaya
Yukutane EPL next season
Alitwaa UEFA akiwa Liverpool baada ya kukomboa goli 3 mechi ya final v Ac Milan na kushinda penalty
Hadi Half Time Milan 3;0 Liver
......
1986 - Shinji Okazaki anazaliwa.
Straika wa Leicester City na timu ya taifa ya Japan.
1987 - Aaron Lennon anazaliwa.
Winga wa zamani wa Spurs ambaye kwasasa anakipiga Everton.
NdiooooKumbe
AhaaaaaaaahBill Gates, Mark Zuckerburg, Donald Trump, myself and other billionares would like to wish u a HAPPY EASTER.

Ni sheedaKweli hapa ndio nakumbuka maneno yako aisee
- Edo Kumwembe anazaliwa.
Mchambuzi mahiri wa soka nchini Tanzania.
Long time sana..tuna na wajukuu.Nakuonaa nakuonaaa
Hatimae umempata wa ubavu wako
Long time sana..tuna na wajukuu.Nakuonaa nakuonaaa
Hatimae umempata wa ubavu wako