Makapuku Forum

Makapuku Forum

f7c80d026738640f7c26af027b3ea919.jpg
 
1889 - Charles " Charlie " Chaplin anazaliwa.

Alikuwa ni Mchekeshaji mahiri kutoka nchini Uingereza.

Alitunukiwa heshima ya " SIR " kwa mchango wake mkubwa katika tasnia ya filamu nchini Uingereza.

Hivyo anajulikana kama Sir Charlie Chaplin.
27a8fad59f544b1f88badbbca3931760.jpg
04167c92fe2d22105f53fff289e3bf82.jpg
e855e9952013733a612bbf54c10489d8.jpg

Mr Bean haoni ndani
Jina lake ndo chimbuko la watu wanaochekesha kuitwa Machalechale
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom