Makapuku Forum

Makapuku Forum

4ed9cda71a313838f9a45f5d196a88c6.jpg

:
.....
 
Mi sina muda wa kujibizana nao....kitu vizuri zinajulikana wala hakihitaji promo

Halafu kwani kuna sheria ya JF kuhusu utoaji wa likes
722d42765985cd6e97680f9eb4b56b72.jpg


Halafu hivi vijamaa vinachoanza na herufu "D" na "U" ni vipuuzi ....hawa ndo wanasoma nondo zetu humu kila siku zen hujifanya kuponda km vipi waanzishe thread wanayoiona ni ya maana halafu na wao wajaziane likes ht milioni moja
Kwani tatizo nini?

https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/20637726
Snitch
........

.....
Hawana shughuli hao

Wanatukubali ila wanajificha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom