Makapuku Forum

mkuu akiwa na akina Benni Mc Carthy na Mark Fish si walichukua AFCON 96?
Halafu wakasumbua WC 98 Au nimekosea?
...
 
Kwenye fainali ya 2015 nafikiri nitareview
 
1980 - Samuel Doe anaongoza mapinduzi nchini Liberia baada ya kumpindua na kumuua Rais William Tolbert Jr.

Anadumu miaka 10 kabla ya yeye kupinduliwa na kuuwawa kinyama kwa kukatwa baadhi ya sehemu za mwili wake kama vile Masikio, mikono nk

Ndo Dikteta kilaza zaidi kutokea duniani alikuwa na cheo cha koplo(V mbili)
......
 

Aliwahenyesha wahujumu uchumi mpaka wakaamua kumwaga sukari ya magendo mtoni hadi kufanya maji yawe matamu
.....
 
Amen... We pray the same to u
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…