Mzee wa serikali umekuja mbio km kawaida yakoUnaelewa jinsi upelelezi unavyofanyika? Siyo rahisi kama unavyodhani unless kama huyo Roma walikuwa wanajua aliko.
Kuhusu kauli kutofautiana serikali hii haina coordination na ni kila mtu na lwake. Ndiyo maana unakuta waziri anasema hichi, Mkuu kabisa anasema hichi, Bashite naye akiibuka anasema hichi ali mradi vurugu tupu.
Mzee wa kolomije uko deep sana well doneUna uhakika kuwa Roma amechukuliwa na watawala? Siamini kama watawala ni wajinga kiasi cha kufanya jambo la kijinga namna hii kwa mtu ambaye wala siyo hatarishi katika jamii.
Siasa ni mchezo wa kucheza na akili za watu. Sitashangaa kama mambo haya yanafanywa na kikundi fulani cha watu ambacho wala hakifungamani na watawala ili kuigombanisha na watawaliwa. Binafsi sikufurahishwa jinsi suala la Ben Saanane lilivyoshughulikiwa na mabosi wake huko chamani. Yaani ilikuwa kama vile kondoo kapotea na siyo mtumishi mtiifu mwenhe cheo cha Mwenyekiti wa Sera na Utafiti wa chama.
Yote kwa yote hata kama watawala hawahusiki, hawawezi kukwepa lawama kwa sababu ni wajibu wao kulinda raia na mali zao. Na siamini kama kweli TISS na vyombo vingine vya dola wameshindwa kujua walipo watu hawa. Ndiyo maana ni haki watu kuamini kuwa pengine watawala wanahusika.
Na kinachonishangaza zaidi ni jinsi serikali hii isivyojali. Haina hata ile dhana muhimu ya "political capital" - kutumia matukio kujiimarisha kisiasa na kufahamu kuwa tukio dogo tu linaweza kuwa na madhara makubwa sana kisiasa. Inashangaza sana!
WapiUnajua jana sikukuelewa shem?
Uliposema uliniona sehemu sijui ni wapi huko?Wapi
Huyu jamaa anafikiri humu wote ni pipo with low IQ kwavile tunapigaga stori hivyo hatujaelimika wala hatujui siasa chafu au nini na niniBila shaka umeanza kunielewa kuwa serikali iko nyuma ya utekaji wa Roma, ninaposema serikali simaanishi ni rais bali waliopewa dhamana na kuaminiwa naye na wanayatumia madaraka na imani waliyopewa vibaya.
Bashite ni sehemu ya hiyo serikali, kauli yake ni kauli ya serikali ktkt eneo lake la utendaji ni rais wa darisalama
Huyu jamaa anafikiri humu wote ni pipo with low IQ kwavile tunapigaga stori hivyo hatujaelimika wala hatujui siasa chafu au nini na mini
Akisikia tunaikosoa serikali ya msukuma mwenzie basi atakuja rundo la maneno kudefend
Nimeishamzoea
........
Kwan hujui tulipoonana auUliposema uliniona sehemu sijui ni wapi huko?
Nini mbaya tenaJaribuuu
Wasikutishe baeHahahaa!
Namuheshimu sana sakayo!
Afu siku hizi nimeacha yale mambo..! Nishatulia kwa sakayo..
Kwa hiyo wewe jigambe tuu.
Ukitaka kumuona jamaa anaandika "kisomi" wakosoe tu wale Wasukuma wawili
Ukabila kwanza
Haya bhana hubbyHanapa baby!
Natania tuu
ThanksHahahaaa!
Always by your side..
Nimesahau shemKwan hujui tulipoonana au
Pengine ana vinasaba naoUkitaka kumuona jamaa anaandika "kisomi" wakosoe tu wale Wasukuma wawili
Mtabishana siku nzima....
Ni km team kudefend Le Mutuz fact zitaletwa za kutosha
.......
Una Kumbuka man Fongo vizuri lakinikwani hamuaminiani??
No mamie!Thanks
Wasije kukuteka tuu maana nitakufwa
Afadhali kama UmesahauNimesahau shem