Makapuku Forum

NUKUU YA LEO


The key to successful leadership today is influence, not authority.

Ufunguo wa mafanikio ya uongozi wa leo ni ushawishi, sio mamlaka


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwandishi mmarekani , mbobezi wa masuala ya uongozi na mshauri wa masuala ya uongozi Bwana Kenneth Blanchard aliyezaliwa tar. 5/6/1939.

Ken amekuwa akiandika makala na vitabu kuhusu uongozi, Moja ya kazi zake nzuri ni zile za ;

1. The one minute manager

2. The secret; what great leaders know-and do

3. Refire and fire





Ushawishi ndio unachukuliwa kuleta mafanikio kwa kiongozi yeyote ...! Jamii inahitaji mtu anatumia ushawishi kuongoza ! Hatutaki mamlaka.., yeyote anaweza kupewa mamlaka ua kujitwalia mamlaka..

Morning motivational;

Jifunze kuwa mshawishi ktk maisha yako..! Taka kuonekana wa tofauti ktk jamii, be potential ! Be influncial.

Transcend.
 
Wacha leo nibet nimuue liver
 
1992 - Mchezaji bora wa zamani wa Tennis kutoka nchini Marekani, Arthur Ashe anajitangaza kuwa ni muathirika wa ugonjwa wa UKIMWI.

Anatajwa kama mmoja wa wacheza Tennis kuwahi kutokea.

Ashe anakuja kufariki mwaka mmoja baadae yaani mwaka 1993.

Baada ya kifo chake, Rais wa Marekani wa Kipindi hiko Bill Clinton anampa tuzo ya heshima ya kitoka kwa Rais. ( President Medal of Freedom ).
 
Asante mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…