Tumuombe Mungu atusaidie tusiache kuwaombea watu hawa waliopotea kwa hali ya utatanishi,na aziangalie kwa wema familia zao ,mke wa Roma,Bibi ya Roma aliyelazwa ICU kwa mshtuko,mama ya Roma na ndugu jamaa na marafiki wote,tumuombe Mungu wa huruma atuhurumie na atusaidie watu hawa wapatikane salama na wote wanaoumia wapate uponyaji wa haraka...Mungu wetu anasikia kuomba kwetu atafanya njia mahali pasipo na njia..Amen