Makapuku Forum

Ukiisoma bible kwa akili za kawaida utagundua imejaa makosa/mapungufu/uongo 70%+

Ila ukiisoma kiimani utasema ipo sawa 100%+ .....Hivyo inategemeana na namna ulivyochagua either kutumia akili zako au kuitumia Imani yako
..........
 
Jibu:
1/Inawezekana wamegeuza picha kwa kusudio maalum,
2/Inawezekana ni wamegeuza picha bahati mbaya tu
Hata ww ukitumia photo editor Unaweza kugeuza picha kushoto kulia
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…