Tutakiane mema katika kile tunachokwenda kukifanya na vile vinavyoendelea kufanyika lengo ni kupashana habari kwa namna moja ama nyingine na kuwa bora kwa muunganiko wetu.
EPL iko tight sana sidhani kama Conte atakubali kufungwa tena pale Darajani japo Victor Mosses uwepo wako bado upo shakani
Liverpool nae hatabiriki kwa timu ndogo
Arsenal hatokubali kupoteza nyumbani kama alivyoduwazwa na Watford
Juve nae anakwenda kulinda tu ili apate nafasi ya kucheza fainali
EPL iko tight sana sidhani kama Conte atakubali kufungwa tena pale Darajani japo Victor Mosses uwepo wako bado upo shakani
Liverpool nae hatabiriki kwa timu ndogo
Arsenal hatokubali kupoteza nyumbani kama alivyoduwazwa na Watford
Juve nae anakwenda kulinda tu ili apate nafasi ya kucheza fainali