Ni vizuri kutokata tamaaHii nimeitunza imenipasomo...kutokukata tamaa
Mmmmh!*NAWAKUMBUSHA TU*
Yeyote anaetaka kupata mtoto 2017, Hii ndo wiki ya mwisho. Vinginevyo mtoto wako atazaliwa 2018. So ebu kuweni bize kdg acheni ujinga wenu
Amen asante kwa tafakari
Psalms 150
Zaburi 150
Tumsifu Mungu pekee kwa maana yeye ndiye muamuzi wa yote katika maisha yetu,
Ametupa nguvu, uwezo na akili ya kupambanua mambo mbali mbali ili tuweze kumsifu yeye kupitia majaribu yanayotukumba kila siku.
Ewe Kapuku mwenzangu hebu jitafakari umefanya lipi la kumpendeza yeye mpaka sasa unapumua?
Be blessed kwa kunielewa.
USIKU MWEMA
Kaka ShkamoDada zangu sakayo&shunie mu wapi leo sioni mkiniamkia leo
Sawa mume wangu!!!I love you honeeey!
Am ookey! Though kuna mwenzetu kapatwa na msiba thats why sijapata muda wa kupita huku
Ila nimo salama...! Nilikiwa huko kutoa pole..
Sasa ukiwa mahali penye majonzi afu uwe unachat na simu tuu..sio heshima..so i was off-line
Amen Amen mkuu za uzimaMama mchungaji heshima yako
Jitahidi acha hasira usipate banHahaha bae wangu anataka kuibiwa mama mchungaji
Bora mods wanavyonipa ban za siku nikipewa ya week nikirudi mume sina
Wooow!!!!I miss you so much mke wangu..
I know how much you care abt me..! Thats siwezi kulala bila kuja kukutakia usiku mwema mke wangu..
I love you sooooo much my love..
Lala nikufunike kipepeo wangu..
Loove so mwaaaa
We si ulitususa lakini???!Hata siko nao mkuu
Bhinamu use na siku njemaaSiku nyingine tena Makapuku, tuwe na siku njema
Shemu tunamshukury aliye juu tuko salamaMungu ni muaminifu, hakika ametupa neema ya kuniona siku nyingine tena!!!
Mmeamkaje wana kapuku
Shunie na shemeji Mmeamkaje jamani!!!
T mume wangu Usisahau kusali, ili Mungu atuongoze siku nzima ya leo...
Kakangu Q na wengine mashemeji zangu ni muda wa kuamka, kusali na kupiga zoezi kidogo...
T Nakupenda sanaa jamani!!!
Muwe na siku yenye tabasamu tele na Mungu wangu awabariki, nawapenda woote but I love my T da most!!!!!!
HahahahaUlimpora mkubhi?