Makapuku Forum

Makapuku Forum

kaka natamani kujua kisa chako
Ukisoma posts chini ya 100k nilikuwa na mrembo mmoja matata aitwa Patience123, tulitesa sana, siku kadhaa sikuingia humu, niliporudi nilikuta Sumbai kabeba halafu huyo dada anajua kuigiza utadhani ni kweli, alinipa maneno matamu nkakolea utafikiri ni kweli na watu walikuwa wakifustilia kapo yetu sanaa, aliponimwaga, hakika nilichanganyikiwa na hapakutosha hapa.
Maumivu yale sijasahau, so nilielewa maumivu ya Tranc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom