Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukisoma posts chini ya 100k nilikuwa na mrembo mmoja matata aitwa Patience123, tulitesa sana, siku kadhaa sikuingia humu, niliporudi nilikuta Sumbai kabeba halafu huyo dada anajua kuigiza utadhani ni kweli, alinipa maneno matamu nkakolea utafikiri ni kweli na watu walikuwa wakifustilia kapo yetu sanaa, aliponimwaga, hakika nilichanganyikiwa na hapakutosha hapa.
Maumivu yale sijasahau, so nilielewa maumivu ya Tranc
Dooh!

Pole mkuu...pole sana kaka

Ila huku pako zaidi ya MMU !
 
Ukisoma posts chini ya 100k nilikuwa na mrembo mmoja matata aitwa Patience123, tulitesa sana, siku kadhaa sikuingia humu, niliporudi nilikuta Sumbai kabeba halafu huyo dada anajua kuigiza utadhani ni kweli, alinipa maneno matamu nkakolea utafikiri ni kweli na watu walikuwa wakifustilia kapo yetu sanaa, aliponimwaga, hakika nilichanganyikiwa na hapakutosha hapa.
Maumivu yale sijasahau, so nilielewa maumivu ya Tranc
hahahhh patience yupo na elly sasa hivi aliniambia amekumwaga sbbu umefulia
 
Ukisoma posts chini ya 100k nilikuwa na mrembo mmoja matata aitwa Patience123, tulitesa sana, siku kadhaa sikuingia humu, niliporudi nilikuta Sumbai kabeba halafu huyo dada anajua kuigiza utadhani ni kweli, alinipa maneno matamu nkakolea utafikiri ni kweli na watu walikuwa wakifustilia kapo yetu sanaa, aliponimwaga, hakika nilichanganyikiwa na hapakutosha hapa.
Maumivu yale sijasahau, so nilielewa maumivu ya Tranc
Pole Kakangu
 
Ukisoma posts chini ya 100k nilikuwa na mrembo mmoja matata aitwa Patience123, tulitesa sana, siku kadhaa sikuingia humu, niliporudi nilikuta Sumbai kabeba halafu huyo dada anajua kuigiza utadhani ni kweli, alinipa maneno matamu nkakolea utafikiri ni kweli na watu walikuwa wakifustilia kapo yetu sanaa, aliponimwaga, hakika nilichanganyikiwa na hapakutosha hapa.
Maumivu yale sijasahau, so nilielewa maumivu ya Tranc
Mkuuu na Mimi itanitokeaa ??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom