fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,030
Come on! Never back to him.Hahaha ww naona ushachanganyikiwa hujui hta kiswahili
Ss hili sakata halitaisha labda uniombe uchepuke basi lkn ukijidai hamnazo mm hamnazo zaidi yenu
Come on! Never back to him.Hahaha ww naona ushachanganyikiwa hujui hta kiswahili
Ss hili sakata halitaisha labda uniombe uchepuke basi lkn ukijidai hamnazo mm hamnazo zaidi yenu
hahahahahaha mkuuHaonywagi mtu hapa, labda hunifahamu tu
usiku mwema dada mwenyewe nitalala mda si mrefuHaya mamy
Nlikuwa napita tuu mwaya.
Kwa heri
Mmmmmmhnimekupenda kikapuku
tupeane kampani kikapuku
tuishi kikapuku
kiufupi nataka tuflirt
nimekupenda bureee

Nooop bhana, dont say datNajuta kuja humu leo
teh teh hivi vitu havina formula pachaPacha komaaaa kabisa usirudie kusema hilo neno kwa binti kwenye red.
Najua T, venye wanipendaSakayo wanguuuuuuu!
Njoo mama!
Nakupenda sanaa
Kuna baridi huku balaa, nimekaa tu hapapoa tu bado haujaingia kwa bed
Nakupenda sana sakayo wangu....T nilikupenda sana, huwezi amini nilikuwa kijijini hamna net ila naenda zaidi ya km 3 kutafuta net kwa ajili yake ila jana nimekoma
Hata mie Natamani iwe ndoto Kakangu, ila ndo kama hivi tenaNatamani niwe naota tu
Sawa mkuu..Mm ndio receptionist hapa kapuku wa ma girl. So nikiona karembo ni uamuzi wangu kuwapa au nichukue mm
jamaan kwa nn hilo baridi lisije na huku kwetu vip mvuaKuna baridi huku balaa, nimekaa tu hapa
Mdogo wangubora yaishe tu
Nmekunywa ya Longido nilikuwa siteLeo umekunywa mbege ya matejoo eeh?
Dada eb tuongee habari zetuMdogo wangu
Umemuona yule mwanamke lakini
Kibao hiki kimfikie mwenyewe muhibu..
Sawa mamy, mwenyewe nautafuta usingiziusiku mwema dada mwenyewe nitalala mda si mrefu