Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi
Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo
Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama
Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu
Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana
He need and love u
Plz sakayo