Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sasa umesubiria nini kuoa kabisa na yawezekana simu yake haina paswordClkey anakunywa maji tuu..!
No beer
No wine
No smoking..
Alikuwa na mzuka na mimi tuu..
Sasa umesubiria nini kuoa kabisa na yawezekana simu yake haina paswordClkey anakunywa maji tuu..!
No beer
No wine
No smoking..
Alikuwa na mzuka na mimi tuu..
hahahhahah RogieUsiponitetea najua pa kukulipizia
KabisaSana yaani ya genius+genius.... Na hawezi pata substitute yake!!
tutakunywa woteEbu kwanza njo na dompo kwa friji ila mm sinywiii
Tatizo kichwa chake kimejaa ugaliKitu kibaya zaidi..
Kama hali iko hivi na mkulu anataka tena neema ya kura za Watz 2020
Je akishashinda 2020 na hapo awe anajua hana wa kunyenyekea as long as hiyo ni term ya mwisho..?
Sema neno roho yangu ipone jmnAbeee
Huo ushungi vipiwallah nimecheka nimekua ustadhat tena?
Shunie my baby njoo uwaage mawifi zako na mashemeji zako vizuri,ata shemej yako transcend aone gere hakuna wa kumtakia usku mwema
Waage kimahaba
Ila na wewe ukishaweka dompo akili inapaa
Nakujaaa mamy get prepared live bila chenga
usilale na mawazo shemela sakayo ni wako tu tunakupenda sanaUsiku mwema shemela..
Oyoooooo niaje???
Yet gov't has to play its role especially to create an conducive environment for the private sectors....There is big challenge with Magufuli..
We are now under capitalism whether you like it or you don't
Sasa hivi private sector ndo imashika uchumi, ukiuwa sekta binafsi unamaliza uchumi..
Ukitaka serikali ifanye kila kitu unauwa ushindani wa kibiashara sana..
Mkapa hakuwa mjinga kufanya privatisation..
Hicho kitab nilikisoma mda sanaTatizo huku nilipo ni asubuhi. Shigongo aliwahi kutunga Rais anampenda mke wangu. Ulikisoma?
Bi Nuur
nilikuaga nacho hiki kitabu shigongo huyu hawezi rudiTatizo huku nilipo ni asubuhi. Shigongo aliwahi kutunga Rais anampenda mke wangu. Ulikisoma?
Bi Nuur
EfathaAmina mkuu!
Barikiwa kabisa..!