mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Siku nyingine nitakwambia!! Sitaki nitafutwe mkuuJina la mboga kwa lugha gani?
Siku nyingine nitakwambia!! Sitaki nitafutwe mkuuJina la mboga kwa lugha gani?
Tatizo baba yako hataki ushauri..
Kule hazina na W ya fedha kuna watu wa sera na uchumi lakini mzee haambiliki...
Shwanga Baba mchuchuOyoooooo niaje???
Ljpuuzi tu bora likachunge ng'ombe ChatoMkuu sizonje hajalibiwi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Duuuh nimeogopa ujueMkuu hizi Tikila unapigia mtaa gani?
Naona zimefika kwenye mishipa mapema leo..
Ndio tatizo
Mwenye bastola aniazime
Anataka kutupeleka uchumi wa Zimbabwe....km hatuwezi kumuondosha kikatiba basi tumuondoshe duniani akaendeleze ubabe wake akhera
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Abee
Majina mawili ya nini sasa? Nina mke mmoja tuu mimiMke wako nani
Clkey au sakayo??
Ebu mwambie Obe nataka kukamatia hio fursa.. maana mwaka wa 3 huu lakin hilo jukwaa silijui
Ndio unanisalimia aje tena?Nakusalimia, kikwenu tena
Umeona eeeMkuu one love
Na Mimi wala sijafikiria kama tupo silias kiasi cha kuchukiana
My Bob T anajuaga tunavyochalengiana japo utani unauma
But we ar 1 family
Ila muache michepukoo
MamiiMama u good? I miss u
Anataka nini
Posa mwambie ishaishaa
Mtaje ajione fahari kupendwa na weweMajina mawili ya nini sasa? Nina mke mmoja tuu mimi
There is big challenge with Magufuli..Nimebahatika kusoma Economics topic ya Monetary Policy nikiwa Advance....Huyu jamaa anaua mzunguko Wa fedha maana tenda wanapeana wenyewe serikali ni halafu alivyo kauzu hafuati Sera wala bajeti![]()
Halafu pia hataki kuweka fedha mabenki binafsi anarundika tu kule benki kuu haziingii kwenye mzunguko
Sasa tusubiri pesa zikauke mitaani halafu wachapishe furushi la maburungutu zen mfumuko wa bei uwe km wa Zimbabwe mkate Sh. elfu 50
..
Senkyuu, miss uu hadi naumwaaaaAww!! Mambo uko poa? Tunakupenda pia
Unanikumbusha swali la ""should the Goverment print more money? "Nimebahatika kusoma Economics topic ya Monetary Policy nikiwa Advance....Huyu jamaa anaua mzunguko Wa fedha maana tenda wanapeana wenyewe serikali ni halafu alivyo kauzu hafuati Sera wala bajeti![]()
Halafu pia hataki kuweka fedha mabenki binafsi anarundika tu kule benki kuu haziingii kwenye mzunguko
Sasa tusubiri pesa zikauke mitaani halafu wachapishe furushi la maburungutu zen mfumuko wa bei uwe km wa Zimbabwe mkate Sh. elfu 50
..
Utaanguka bure ameita tu jamani