Salama kabisa. Tumshukuru Mungu tumepewa siku nyingine. Please tuitumie vyema! Mochwari duniani kote bila shaka zimejaa maiti kibao lakini sisi tungali tunapumua. Upendeleo ulioje!
Babu Anawahadithia Wajukuu Zake Hadithi
Babu: Tulipokuwa Vitani Tulitekwa Na Maadui, Nusu Yetu Waliuwawa Na Nusu Nyingine Walibakwa.
Wajukuu: Babu Kwa Hiyo Wewe Ulikuwa Kundi Gani?
Babu: Nani?
Wajukuu: Wewe!
Babu: Nani? Mimi.... Mimi... Niliuwawa!
Babu Anawahadithia Wajukuu Zake Hadithi
Babu: Tulipokuwa Vitani Tulitekwa Na Maadui, Nusu Yetu Waliuwawa Na Nusu Nyingine Walibakwa.
Wajukuu: Babu Kwa Hiyo Wewe Ulikuwa Kundi Gani?
Babu: Nani?
Wajukuu: Wewe!
Babu: Nani? Mimi.... Mimi... Niliuwawa!