Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari za leo makapuku wapendwa ,naamini mmeamka salama namwomba Mungu awasaidie katika kila jambo wagonjwa awaponye,wenye kuuguza Mungu awatetee,wafiwa Mungu awafariji,wenye changamoto mbalimbali Mungu aingilie kati,nawapenda sana sana naomba Mungu atupe amani na mafanikio....tuombeane heri na baraka tele,namuombea Shunie jamani amalize Ban.....nammiss sana.mbarikiwe.
 
Habari za leo makapuku wapendwa ,naamini mmeamka salama namwomba Mungu awasaidie katika kila jambo wagonjwa awaponye,wenye kuuguza Mungu awatetee,wafiwa Mungu awafariji,wenye changamoto mbalimbali Mungu aingilie kati,nawapenda sana sana naomba Mungu atupe amani na mafanikio....tuombeane heri na baraka tele,namuombea Shunie jamani amalize Ban.....nammiss sana.mbarikiwe.
Asante mama mchungaji


Shunie ashafunguliwa ban
 
1981 - Rais Ronald Reagan wa Marekani anashambuliwa kwa risasi kifuani alipokuwa akitoka katika Hotel huko Jijini Washington D.C

Risasi hizo zilimpata kwenye mbavu na kusababisha damu kuvuja ndani kwa ndani. Kama sio kukimbizwa Hospitali ya karibu angepoteza Uhai wake.
Kutokana na tukio hilo, kumekuwa na utaratibu wa kutembea na damu ya akiba katika gari la Rais wa Marekani ili kujaribu kuokoa maisha ya Rais pindi inapohitajika.

Alishambuliwa na John Hinckley Jr ambaye alikuja kuachiwa baada ya kuonekana ana tatizo la akili.

Watu watatu walijeruhiwa ambao ni walinzi wawili na katibu wa Rais, James Brady ambaye alipooza mwili wote.

Miaka mingi baadae ilikuja kusemekana, Makamu wa Rais wa Marekani kipindi hiko, George H.W. Bush alikuwa nyuma ya Jaribio hilo la kumuua Rais ili yeye achukue madaraka, kwani Katiba ya Marekani inasema endapo Rais atafariki Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais.

Pia Rais Reagan vita yake dhidi ya madawa ya kulevya ndio ilisababisha jaribio la kujaribu kumuua.

Ndio Rais wa mwisho wa Marekani kupigwa risasi akiwa Madarakani lakini hakufa.
 
LEO Katika HISTORIA:

1965 - Bomu lililotegwa katika gari lalipuka mbele ya Ubalozi wa Marekani katika mji wa Saigon huko Nchini Vietnam na kuua Watu 18 huku majeruhi wakiwa 22.
cdd48439d19f738f522d350b3d20e4b0.jpg
50bf603cb891230854907bd4057fb6ac.jpg
ef24399d30485818877ff72b312c5b02.jpg
USA inaongoza kwa kupigwa mabomu maana ina kiherehere kwenye nchi za watu
...
 
1968 - Celine Dion anazaliwa.

Mwanamuziki nguli na mahiri wa muziki laini kutoka nchini Canada.

Mama wa Watoto watatu ambaye ameachana na Mumewe mwaka jana 2016.

Baadhi ya vibao vyake ni I Love You, Immortality, Power of Love, think twice nk.

Kibao chake cha My heart will go on ndio nyimbo aliyouza zaidi katika historia yake ya kufanya muziki.

Kwangu mimi ni mmoja kati ya wanamuziki ninaowakubali sana.
 
1981 - Rais Ronald Reagan wa Marekani anashambuliwa kwa risasi kifuani alipokuwa akitoka katika Hotel huko Jijini Washington D.C

Risasi hizo zilimpata kwenye mbavu na kusababisha damu kuvuja ndani kwa ndani. Kama sio kukimbizwa Hospitali ya karibu angepoteza Uhai wake.
Kutokana na tukio hilo, kumekuwa na utaratibu wa kutembea na damu ya akiba katika gari la Rais wa Marekani ili kujaribu kuokoa maisha ya Rais pindi inapohitajika.

Alishambuliwa na John Hinckley Jr ambaye alikuja kuachiwa baada ya kuonekana ana tatizo la akili.

Watu watatu walijeruhiwa ambao ni walinzi wawili na katibu wa Rais, James Brady ambaye alipooza mwili wote.

Miaka mingi baadae ilikuja kusemekana, Makamu wa Rais wa Marekani kipindi hiko, George H.W. Bush alikuwa nyuma ya Jaribio hilo la kumuua Rais ili yeye achukue madaraka, kwani Katiba ya Marekani inasema endapo Rais atafariki Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais.

Pia Rais Reagan vita yake dhidi ya madawa ya kulevya ndio ilisababisha jaribio la kujaribu kumuua.

Ndio Rais wa mwisho wa Marekani kupigwa risasi akiwa Madarakani lakini hakufa.
4d711d1e49a392c31e72cfc97217c6ef.jpg
8eeb4eb0cd28c28fdd3344056915f5db.jpg
4c5ed8f9bbc37c5a69e1e771be408e81.jpg
963ec710f4765ab52bdd8314f08bd5ec.jpg
Sizonje tumwekee damu ya ng'ombe
......
 
1968 - Celine Dion anazaliwa.

Mwanamuziki nguli na mahiri wa muziki laini kutoka nchini Canada.

Mama wa Watoto watatu ambaye ameachana na Mumewe mwaka jana 2016.

Baadhi ya vibao vyake ni I Love You, Immortality, Power of Love, think twice nk.

Kibao chake cha My heart will go on ndio nyimbo aliyouza zaidi katika historia yake ya kufanya muziki.

Kwangu mimi ni mmoja kati ya wanamuziki ninaowakubali sana.
7f9e544eac1038b77d4cb56596a2913c.jpg
0af590e687262023ac19cfac44785840.jpg
efa1ac9cdc5a28c39899627c9f1e5fd5.jpg
0402abb1b09a0d75a0775967036d2dc8.jpg
Namkubali sana
.....
 
1986 - Sergio Ramos anazaliwa.

Beki na Nahodha wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Hispania.

Mmoja kati ya mabeki bora kabisa wa zama hizi, ana uwezo mkubwa wa kulinda, kusoma mchezo na hata kufunga pale inapobidi.

Amekuwa mchezaji muhimu wa kusawazisha au kuifungia timu yake magoli muhimu hasa dakika za lala salama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom