Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Unakunywa baa gani kijanaWahudumu wa afya, heshima kwao
![]()
Unakunywa baa gani kijanaWahudumu wa afya, heshima kwao
![]()
Nipe namba zao please nataka wanifanyie tangazo ya maharage yangu
Wamekomaa sana watsharibu biasharaNipe namba zao please nataka wanifanyie tangazo ya maharage yangu
Snipes mambo!si mchezo
Wote jamaa nataka nijaribu na juisi ya komamanga piaHa hahhaha, namba tena, za wote (threesome) au unabaki mmmoja (onesome)? wanatumia 'twila' (twitter)
No kuna mmoja hapo ananifaa kwa matumiziWamekomaa sana watsharibu biashara
Real!!!No kuna mmoja hapo ananifaa kwa matumizi
Really MadridReal!!!
Kula kitu roho inatakaReally Madrid
Wote jamaa nataka nijaribu na juisi ya komamanga pia
Ndio bossKula kitu roho inataka
Mm sio mtumiaji wa bia so sifahamHa hahhahhhaha
Hivi ni juisi tu, hakuna bia ya komamanga?
Mm sio mtumiaji wa bia so sifaham
Hahaaaa siku ukizidiwa najua utanitafuta nikuelekeze jinsi ya kutengeneza hiyo sharubatina mimi sio mtumiaji wa juice/shurubati, kwa Azam mimi nafuata unga tu
Wapi huko na mie nikapate bby wa kukod ila asije akaniambia ...baby i love you.....atakuwa amenofukuzaNa mie nimemshangaa, kule hakunaga masihara
Changu!Wapi huko na mie nikapate bby wa kukod ila asije akaniambia ...baby i love you.....atakuwa amenofukuza
GuudiiMm sio mtumiaji wa bia so sifaham