Nilishamjibu kuwa ss sio wazaramoooSio mzaramo mm pls
MahabaJamaniiii
Wv wa nini
Mungu ni muaminifu kwakoAhsante
Naendelea vizuri kabisa
asante kakaNilishamjibu kuwa ss sio wazaramooo
Karibu ddangu shunie na pole kwa ban
Yako wapiMahaba
Bora umekuja nko mpweke sana hapa,Nipo mkuu za uzima
Karibu roho ya Leenimezaliwa upya ata unipige kibao nitakugeuzia upande wa pili ila yule chizi jana yalinifika mwisho nawapenda sana badae
Ulichokifanya sio sawa coz huyo mtu ingelikuwa mara ya kwanza atlst lakini ni sturbon hakuna hasiye mjua na wewe unamjua fikanimezaliwa upya ata unipige kibao nitakugeuzia upande wa pili ila yule chizi jana yalinifika mwisho nawapenda sana badae
Ni hasira shemejiKipi kilikufanya jana uoneshe ubabe wa matusi kwa wenzio ??

Kwa nani sasaMahaba
lee nimemuignore sana sana lkn matusi ya jana yalinifika mwisho mm pia binadamu nina moyo na ban niliyopewa sio ya siku moja ila nashkuru kurudiUlichokifanya sio sawa coz huyo mtu ingelikuwa mara ya kwanza atlst lakini ni sturbon hakuna hasiye mjua na wewe unamjua fika
Au kisa moderator wanakupa ban ya Siku 1
Ila vizuri watakuogopa umewaonesha upande wa pili wako
sante dadaKaribu roho ya Lee
SawaUlichokifanya sio sawa coz huyo mtu ingelikuwa mara ya kwanza atlst lakini ni sturbon hakuna hasiye mjua na wewe unamjua fika
Au kisa moderator wanakupa ban ya Siku 1
Ila vizuri watakuogopa umewaonesha upande wa pili wako
Sakayo+transcendYako wapi
Mkuu unamjua Baba mchungajiiBora umekuja nko mpweke sana hapa,
Mambo
Hasira gani hizo za kipuuzii??Ni hasira shemeji![]()
![]()
Transcend+SakayoKwa nani sasa
Umekuja kama Mondray??? Wewe ni sheedalee nimemuignore sana sana lkn matusi ya jana yalinifika mwisho mm pia binadamu nina moyo na ban niliyopewa sio ya siku moja ila nashkuru kurudi