manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Kabisa mpenzi wangu hata mtumishi jambilo analifahamu hili na amekuwa akinialika mara kwa mara kwenda kutoa semina nyumban mwa bwana..Kwa hiyo mke upo kwenye mikono salama kabisa ni wewe tu kulala usingizi mnono kwani hakuna kitakachoweza kukugusa ukiwa kwenye mikono hii..Nakupenda mke wangu..Amen baby...
Asante na ubarikiwe
Hapa ndio nakupenda zaid....hivi baby umelelewa kwenye familia ya kilokole eehh![]()
![]()
![]()
