Makapuku Forum

Makapuku Forum

1461078659241.jpg
 
Umemaliza mtumish na umenikumbusha Methali 28:1 inasema...‘’Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Barikiwa sana..

Umeshindaje baba angu??
Kaz niadje???(kwa sauti ya milimani)


Umemaliza mtumish na umenikumbusha Methali 28:1 inasema...‘’Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Barikiwa sana..
 
Mpenzi wangu nikupendaye sana kwanza pole na majukumu yako ya siku ya leo wakt unajipumzisha nikupe mstari huu kutoka kwa 2Timotheo 2:22 nayo unasema.."Lakini zikimbie tamaa za ujanani ukafuate haki na imani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi."
Amen baby...
Asante na ubarikiwe
Hapa ndio nakupenda zaid....hivi baby umelelewa kwenye familia ya kilokole eehh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom