Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
R.i.pR.I.P Ahmed Sekoutoure
R.i.pR.I.P Ahmed Sekoutoure
we mfukunyuku
Sasa wewe unakwenda wapiiWakuu hope mko salama wote ,Leo sijawaletea magazeti ila naona baby anashukuliwa atakuwa amefanya hivo nimeskip post
Ntawamisi ila nawakumbuka na ntakuwa nawajulia hali kimagumashi kwa hizi siku mbili tatu
Nawapenda sana wote
Baby shunie take care ....
Ila ntaumis utani wetu hasa wanakamati wenzangu
Uko poaHabari za jioni bosses
Njema bossHabari za jioni bosses
AmenMama mchungaji be blessed
Sasa hivi niko pouwa..Babe
Vipi hali yako kwa sasa.
Shunie anapenda gari lenye kadi ya jina lake sio kadi iwe na jina la Lee
Pole Mungu akupe wepesi Wa mambo yoteNiko poa mwana
Njema sana
Njema ila siku nimeianza vibaya na nimemaliza vibaya. Ndio maana hata leo sijaingia huku
Nawe pia ubarikiweJamani, Niwatakie usiku murua woote. Mie nitangulie kulala, T hayuko poa.
T mpenzi tukapumzike
wala Snipes tuletee malkia tuwe mfukunyuku
Dada kakujibu shemelaShunie na wewe unapenda magari?
Babe
Vipi hali yako kwa sasa.
Shunie anapenda gari lenye kadi ya jina lake sio kadi iwe na jina la Lee
nawe pia dada nawapenda sanaJamani, Niwatakie usiku murua woote. Mie nitangulie kulala, T hayuko poa.
T mpenzi tukapumzike
Nini kimekukutaNiko poa mwana
Njema sana
Njema ila siku nimeianza vibaya na nimemaliza vibaya. Ndio maana hata leo sijaingia huku
Systems za mwili zilikua hvyo hasa StressNini kimekukuta
yupo njianiwala Snipes tuletee malkia tu
Gud GudHabari za jioni bosses