Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu hope mko salama wote ,Leo sijawaletea magazeti ila naona baby anashukuliwa atakuwa amefanya hivo nimeskip post

Ntawamisi ila nawakumbuka na ntakuwa nawajulia hali kimagumashi kwa hizi siku mbili tatu

Nawapenda sana wote

Baby shunie take care ....

Ila ntaumis utani wetu hasa wanakamati wenzangu
Tunakumis Lee Mungu akubariki na akufanyie wepesi
 
Hahaha
Hivi yupo, sijamuona siku nyingii

Nipo mdogo wangu, leo nimeamua kulala siku nzima
hahahhah yupo nimekutana nae mmu kwenye uzi wanawake wanashobokea wenye magari

mm nilikua tofaut nao wakina Daby nikawaambia sio wote mara akaja manga akaniambia ndio mana mliniambia nitoe picha ya gari yangu kwenye avatar nikakukumbuka ile tulivyombadilisha avatar kilazima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom