Makapuku Forum

wanachojali n familia zao tu kwingine nahisi wanalingia jina na wakiona mtu unashoboka kwa ajili ya jina lao ndio wanapokuingia nilikua naona enzi hizo BBM acha tu
 
wanachojali n familia zao tu kwingine nahisi wanalingia jina na wakiona mtu unashoboka kwa ajili ya jina lao ndio wanapokuingia nilikua naona enzi hizo BBM acha tu
Yan hata hizo familia zao wasipokua na akili zinapotea tu maana hawana maisha ya uhakika....

Kajisemea mama angu bora upate mwanaume anaefanya kazi serikalini hata pension ipo uzeeni
mama angu nae huwa ananiuziii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…