hahahhh ila umenichekesha sana nahisi leo nitaonana nae kuna kitu nataka anipe aliniambia leo nikionana nae nitampa story zakojamani ingekua enzi zangu ningemdanga
Asante mke wa lee ubavu wake kwa magazeti
1944 - Diana Ross anazaliwa.
Mwanamuziki mashuhuri toka nchini Marekani.
Jamani usimwambie khaahahahhh ila umenichekesha sana nahisi leo nitaonana nae kuna kitu nataka anipe aliniambia leo nikionana nae nitampa story zako
shukrani Mussolin na kwako pia asante pia Bitoz kwa picha mbarikiweLeo katika Historia:
Sina la ziada niwatakie siku njema.
Alikua mzuuriiAlitikida enzi zake
.....
hahahah unipe bwana nataka uwe wifi yangu wa pembeniJamani usimwambie khaasiku nyingine ntakua sikupi udaku....unataka akupe identity yangu
Diana mzuriAlitikida enzi zake
.....
Akuu nikiachika ntaenda wapi na huu ubibi gagula in mange's voice...mwisho nizalishwe tu nbaki kulea mtoto peke yangu ka mushroomhahahah unipe bwana nataka uwe wifi yangu wa pembeni
wanachojali n familia zao tu kwingine nahisi wanalingia jina na wakiona mtu unashoboka kwa ajili ya jina lao ndio wanapokuingia nilikua naona enzi hizo BBM acha tuAkuu nikiachika ntaenda wapi na huu ubibi gagula in mange's voice...mwisho nizalishwe tu nbaki kulea mtoto peke yangu ka mushroom
Kuna mpangaji wetu kazalishwa na mchezaji jamani ana maisha maguuumu khaa, yan hao wachezaji huwa wako tee tu nawao
Yan hata hizo familia zao wasipokua na akili zinapotea tu maana hawana maisha ya uhakika....wanachojali n familia zao tu kwingine nahisi wanalingia jina na wakiona mtu unashoboka kwa ajili ya jina lao ndio wanapokuingia nilikua naona enzi hizo BBM acha tu
hahaha ila mama hajakosea ujueYan hata hizo familia zao wasipokua na akili zinapotea tu maana hawana maisha ya uhakika....
Kajisemea mama angu bora upate mwanaume anaefanya kazi serikalini hata pension ipo uzeenimama angu nae huwa ananiuziii
1977 - Kevin Davies anazaliwa.
Straika wa zamani wa Bolton Wonderers.
Ni mmoja kati ya wachezaji waliokuwa wanacheza rafu nyingi EPL.
Pia ni mmoja kati ya wachezaji wenye kadi za njano nyingi katika EPL licha ya kucheza kwenye idara ya Ushambuliaji.
Nimeona tu makotena ila sijaona mchanga wowote wa madini labda hayafunguki au mchanga wa machohope mmeamka salama tukayapitie magazeti kwa niaba ya bae nahisi atakua ametingwa
Hajakosea tatizo linakuja unapompenda mtu sasa na hafanyi kazi serikalini doohhahaha ila mama hajakosea ujue
hahahaaaaHajakosea tatizo linakuja unapompenda mtu sasa na hafanyi kazi serikalini dooh.....yani mama angu hata mtu awe na biashara zake hatakii
Sema wanaume wasumbufu acha tuwachaguage khaa!
Afungue aaibikeNimeona tu makotena ila sijaona mchanga wowote wa madini labda hayafunguki au mchanga wa macho
....
naona wameamua kuweka front page ili kumridhisha sizonjeNimeona tu makotena ila sijaona mchanga wowote wa madini labda hayafunguki au mchanga wa macho
....
....aya mama ngoja nimtafute kaka ako niongeze circle ya marafiki....naeza ibukia twiga stars buree, nisijifanye najishaua hapa na ajira hamnahahahaaaa
1982 - Mikel Arteta anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Everton, Arsenal ambaye kwasasa ni kocha msaidizi kwa Pep Guardiola pale Man City.
hahahhh mtafute tu ulete na mrejesho....aya mama ngoja nimtafute kaka ako niongeze circle ya marafiki....naeza ibukia twiga stars buree, nisijifanye najishaua hapa na ajira hamna