BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Nampenda sana Mtumishi wa Mungu Abihudi Misholi..nimefurahi ..naupenda sana wimbo huu nausikiliza mara nyingi sana asante mkuu Obe
Leo nipo nanyikaribu kwetu ule mama mchungaji
BagamoyoKweli eeh, siku moja ni masaa 24, sasa nisipokuja humu ntaenda wapi? Jukwaa la Wakubwa?
NyoooooNa sisi tunataka hivoo mfungiane chumban
Mniache kwa livi nimefika, siendi kokotemalkia haeleweki
Kule nimewahi kukutana na balaa miaka ya 2013 dooh! Nilichookahuyo akiingia atanitoa juzi nilimuona malkia yupo kule


umemtukana mume hivyoNyooooo

balaa gan tenaKule nimewahi kukutana na balaa miaka ya 2013 dooh! Nilichooka![]()
Nilicomment sentensi nusu tu ya utani...hee ikachkuliwa serious, mtu acha akomae na mimi kuntafutaa! Afu enzi hizo sasa na viakili vya kitoto....ni vile tu niliepuka huo msalabalaa gan tena
Mtulize mumeoumemtukana mume hivyo![]()
Vuta nk'uvuteeeNilicomment sentensi nusu tu ya utani...hee ikachkuliwa serious, mtu acha akomae na mimi kuntafutaa! Afu enzi hizo sasa na viakili vya kitoto....ni vile tu niliepuka huo msala
Doh! Naomba hiyo riwaya kama unayo? Nmemmiss DengeVuta nk'uvuteee
Ushaambiwa kule wamejaa madume jike![]()
![]()
![]()
![]()
ah wapi siwez
hapana aisee malkia utani usivuke mpaka mume anaumaMtulize mumeo