Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu iko hivii

Kwanza mwambie weeeiiiitaaa aongezee


Mkakakati wa kwanza huyu mrembo anayejifanya habandukiii ni kumfanya livi wake hasirudiii kabisa fund wetu yupo

Akitokeaa yule moderator tukikutana nae tunampa Buku ampige ban livi


Apo bibie tunampata sema uache ubailiii tumtoe ata lunch
Nimeipenda hiyo ya ban, hivi si hata pm wanakuwa hawawasiliani? Maani ni miaka imepita sasa tangu nile ban kule kwenye siasa.

Ubahili nitaacha, si nimekueleza siku hizi nahesabu sadaka, au umesahau. Atakula pesa za waumini maana hazina mapungufu
 
Capture3.PNG
 
Mkuu iko hivii

Kwanza mwambie weeeiiiitaaa aongezee


Mkakakati wa kwanza huyu mrembo anayejifanya habandukiii ni kumfanya livi wake hasirudiii kabisa fund wetu yupo

Akitokeaa yule moderator tukikutana nae tunampa Buku ampige ban livi


Apo bibie tunampata sema uache ubailiii tumtoe ata lunch
Mungu anawaona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom