Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
ukimaanishaUsipende kula chakula aina moja kitakukifu
Dume singlendi![]()
![]()
![]()
Dume pensi
Kwahiyo una wake wawili lkn ndio ukidumeIla kwa sisi waislam tumeruhusiwa kuwa na wake wawili
Mada ya Leo ;nini changamoto za wake zaidi ya mmoja
Mawazo yenu
Usitegemee msichana mmoja atakukifu mapemaukimaanisha
Ndio ndo maana hata bwana Muddy alioa hadi katotoKwahiyo una wake wawili lkn ndio ukidume
hongereni sana mtahangaika mabucha lkn nyama n ile ileNdio ndo maana hata bwana Muddy alioa hadi katoto
Ohooo, hukumbuki uliwahi kunikoromea na kusema wewe ni d la mbegu!!!Oya
Nasikia unarusha tuhuma kuwa mie dume
wamekuelewa wahusikaUsitegemee msichana mmoja atakukifu mapema
Nyama zimetofautiana bibiehongereni sana mtahangaika mabucha lkn nyama n ile ile
Lee anataka mwingine wa 2 kama hujuiwamekuelewa wahusika
sawa wenye akili wamekuskia wawe na wake wengiNyama zimetofautiana bibie
ShunieHow?
ata akitaka wa3 mondray aongeze damu si yake anajua jinsi ya kuwamudu wote wafurahiLee anataka mwingine wa 2 kama hujui
KipatoIla kwa sisi waislam tumeruhusiwa kuwa na wake wawili
Mada ya Leo ;nini changamoto za wake zaidi ya mmoja
Mawazo yenu
Anasaidiwa huyoKwahiyo una wake wawili lkn ndio ukidume
Dume kitambiDume singlendi
kaka unasemajeShunie
anasaidiwa nn kakaAnasaidiwa huyo