Kipengele cha kuungama kipo? Nataka nitaje dhambi zangu Kabla ya maombi kuanza,
Kuhusu baba mtumishi macho sitafumba ondoa shaka, najua udhaifu wake ni kwa madada kama mie
Shem pumzi haikati ila tuna-play kotekote ukipata chansi unachungulia huku kujua hali ya mtoto mzuuuur sana amaizing anaendeleaje pamoja na mashemeji zangu wote mnaendeleaje maana vipanga ni wengi mno...
hatuwezi kuabudu watu wenye chuki na makapuku, wanapost upuuzi wanapewa ufagio wa milele.. Hii ni namba mpya, mapambano mapya.. Kucheka na adui ni kukubali kuuza siri zako.. Kama wao wakongwe basi sisi ni wajuzi lakini wenye Ujuzi kuliko wao...
Kipengele cha kuungama kipo? Nataka nitaje dhambi zangu Kabla ya maombi kuanza,
Kuhusu baba mtumishi macho sitafumba ondoa shaka, najua udhaifu wake ni kwa madada kama mie
Amina amina kondoo wa bwana. Huduma ya kuungama ipo,ila tunachaji 10'000= kwa kila dhambi ndogo,kiwango kinapanda kulinga na ukubwa wa dhambi,utapigiwa gharama baada ya maungamo mpendwa katika bwana...Hapa ni hela tu,,,kazi kwa Ngosha.