Makapuku Forum

Kweli mkuu kazi ipo wanatuonea sana
 
Hatari tupu mkuu
 
Ila aliwasogeza usiku kinomaaa

Na yeye ana moyo make angelikuwa mwingine tungelitofautiana mapema na wenge zake


Ila kwenye mchujo usimsahau mchizi
Yah....hapanick ovyo maana ningekua mimi ningemute kimyakimya! Na raha ya jf ujiunge ukubwani maana ukijiunga mtoto ka nilivyojiunga mimi lazima upanic.....though sijutii kukua na jf
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…