Makapuku Forum

Makapuku Forum

5ff5572a5aa5246ea0f8427cd3fe6bc8.jpg
c22d41e6856856fa14aec9b0401971b4.jpg
54fec86f00ce522b882ab5072f4047fe.jpg
Hata mm situmii
....
Haina mbwembwe ni nzuri katika breaking news za fasta fasta
 
Mtandao pekee ninaopost na kuutumia zaidi ni hapa JF

FB na insta nina akaunti lakini huwa sipost,kulike wala kushare chochote zaidi ya kusoma ishu mbalimbali mfano habari michezo n.k....watu ambao kwa siku wanapost mipicha yao kutwa mara 7 huwa nawaacha tu kwenye friend list ila siwafollow a.k.a nawaunfollow

WhatsApp nipo group la ukoo pekee tena huwa nauchuna zaidi

Natumia GB hivyo nafichaga hadi tick ili wajinga wanaotuma meseji za kipuuzi niwe nauchuna huku wao wakifikiri sina banco maana wanaona tock 1 pekee na status huwa sibadili mwaka mzima , picha ni mara mojamoja

Twitter,Viber, bado n.k situmii kabisa japo simu ilikuja na app ya twitter lakini nimeiondoa
.....
Interesting mkuu
 
Mtandao pekee ninaopost na kuutumia zaidi ni hapa JF

FB na insta nina akaunti lakini huwa sipost,kulike wala kushare chochote zaidi ya kusoma ishu mbalimbali mfano habari michezo n.k....watu ambao kwa siku wanapost mipicha yao kutwa mara 7 huwa nawaacha tu kwenye friend list ila siwafollow a.k.a nawaunfollow

WhatsApp nipo group la ukoo pekee tena huwa nauchuna zaidi

Natumia GB hivyo nafichaga hadi tick ili wajinga wanaotuma meseji za kipuuzi niwe nauchuna huku wao wakifikiri sina banco maana wanaona tock 1 pekee na status huwa sibadili mwaka mzima , picha ni mara mojamoja

Twitter,Viber, bado n.k situmii kabisa japo simu ilikuja na app ya twitter lakini nimeiondoa
.....
Snapchat nimeshindwa kujua wanatumiaje.

FB na Insta nipo ila maskani yangu ni hapa JF.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom