Makapuku Forum

Makapuku Forum

michezo na udaku kwa niaba ya shunie wa lee
546d4836badd616f9b1c109616b6161e.jpg
44df7b8501f42754d7f010aa81486b0c.jpg
c405e49b6e6fdb334db3635b2afd8a1f.jpg
ea8e856f1c7afbbcd2ebca3fd7ffdc9a.jpg
d7fcf09301ab0ec25ff7540ace2258b2.jpg
f540b4a335070e43bb6efd27797f51d4.jpg
f0be9708e68513a4ee11e16a078ace82.jpg
671b6e3906404d2232f91992767ce3cc.jpg
 
1963 - Ronald Koeman anazaliwa.

Beki wa zamani wa PSV, Ajax, Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi.

Pia amewahi kuwa kocha wa Ajax, PSV, Southampton na sasa Everton.

Moja kati ya mabeki bora wa kati wa muda wote, ambaye akiwa Barcelona aliifungia timu hiyo magoli 90 mengi yakiwa ni Freekick na penati.

Yeye ndio anaongoza kwa kufunga penati 46 kwa timu ya Barcelona katika La Liga mpaka sasa.

Pia anashika nafasi ya pili nyuma ya Leo Messi kwa kufunga goli nyingi za Freekick pale Barcelona.

Alitwaa ubingwa wa Euro mwaka 1988 akiwa na Uholanzi chini ya staa Marco Van Basten.

Kwasasa anapigiwa chapuo kwenda kurithi mikoba ya kocja wa sasa wa Barcelona, Luis Enrique.
 
1980 - Ronaldinho Gaucho anazaliwa.

Jina lake halisi ni Ronaldo De Assis Moreira.

Kiungo mshambuliaji wa zamani wa PSG, Ac Milan, Barcelona na timu ya taifa ya Brazil.

Anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka.

Ameshinda kila kitu katika soka, Kuanzia Copa America mwaka 1999, Kombe la Dunia mwaka 2002, Uefa Champions League mwaka 2006, ubingwa wa La Liga mara mbili.

Pia ameshinda Ballon D'or mara mbili.

Alisifika kwa chenga zake za madaha, uwezo wa kukokota mpra na hata magoli adimu.

Mpinzani wake mkuu wakati anacheza alikuwa Zinedine Zidane wa Ufaransa, mpaka leo hakuna jibu sahihi kati ya Zidane na Ronaldinho nani alikuwa zaidi?
 
1961 - Lothar Matthaus anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

Alikuwa kepteni wakati Ujerumani inatwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1990 pale Italia kwa kuifunga Argentina ya Diego Armando Maradona.

Ndio Mjerumani pekee mpaka sasa kushinda tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia.

Ndio mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi kwenye timu ya taifa ya Nchi hiyo.
d242bb14adac239e9b4bd903e1d06963.jpg
50f11e59cfb940c5ad942e426b1e2c80.jpg
b7cfedd23d5c15751c0d1046406d021a.jpg
7641b470b63392383f2c6d4463cf457d.jpg

Kumbe wachezaji wengi Wa Kijerumani wanaisikia Ballon d'or kwenye bomba nahisi kutokana tu na soka la shoka walilokuwa wanacheza
....
 
1963 - Ronald Koeman anazaliwa.

Beki wa zamani wa PSV, Ajax, Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi.

Pia amewahi kuwa kocha wa Ajax, PSV, Southampton na sasa Everton.

Moja kati ya mabeki bora wa kati wa muda wote, ambaye akiwa Barcelona aliifungia timu hiyo magoli 90 mengi yakiwa ni Freekick na penati.

Yeye ndio anaongoza kwa kufunga penati 46 kwa timu ya Barcelona katika La Liga mpaka sasa.

Pia anashika nafasi ya pili nyuma ya Leo Messi kwa kufunga goli nyingi za Freekick pale Barcelona.

Alitwaa ubingwa wa Euro mwaka 1988 akiwa na Uholanzi chini ya staa Marco Van Basten.

Kwasasa anapigiwa chapuo kwenda kurithi mikoba ya kocja wa sasa wa Barcelona, Luis Enrique.
59f718c0fea4b10545bfe61127645912.jpg
f8a756d68210b961f805bc628cc05fb9.jpg
a08b3052b9b1b6108d808f0befee7b20.jpg
c7e18a538f8a203b0a376fce5f7aefa5.jpg

Alikuwa jembe
....
 
- World Poetry day.

Siku ya kimataifa ya Ushairi Duniani.

Katika siku hii, Watu wanahimizwa kusoma Mashairi mbalimbali kwani imejengeka dhana kwamba mashairi ni magumu sana.

Baadhi ya Washairi wetu toka Tanzania ni Kaluta Amri Abeid, Shaaban Robert, Euphrase Kezilahabi.
 
1980 - Ronaldinho Gaucho anazaliwa.

Jina lake halisi ni Ronaldo De Assis Moreira.

Kiungo mshambuliaji wa zamani wa PSG, Ac Milan, Barcelona na timu ya taifa ya Brazil.

Anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka.

Ameshinda kila kitu katika soka, Kuanzia Copa America mwaka 1999, Kombe la Dunia mwaka 2002, Uefa Champions League mwaka 2006, ubingwa wa La Liga mara mbili.

Pia ameshinda Ballon D'or mara mbili.

Alisifika kwa chenga zake za madaha, uwezo wa kukokota mpra na hata magoli adimu.

Mpinzani wake mkuu wakati anacheza alikuwa Zinedine Zidane wa Ufaransa, mpaka leo hakuna jibu sahihi kati ya Zidane na Ronaldinho nani alikuwa zaidi?
4e49e265c61ecc40e12cb24c2b2885d1.jpg
deeb813ecfcd72d1abdce991f7d3c694.jpg
1d41a30d3d9e745b3e8c86b53543bc8a.jpg
1cdda7fa9746bed3484f7d8a953db0fa.g
6d35d8323956b4c89eae50e90ffbb908.jpg

Nakumbuka goli lake v Chelsea
...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom