Makapuku Forum

Makapuku Forum

1943 - Rudolf von Gersdoff anajaribu kumuua Adolf Hitler kwa bomu katika ukumbi.

Hitler anawahi kuondoka katika ukumbi huo kabla ya muda uliopangwa na hiyo inakuwa ndio pona yake.

Katika utawala Adolf Hitler amenusurika majaribio 26 ya kuuwawa.
Adolf Hitler alikua na machale na alijua anamaadui wengi maisha ya hofu kila wakati.
 
14d965290619f27f4899d546a4f82208.jpg
Stanley
a3aa7e281073859178e0312c07021cc4.jpg
Livingstone
8d0e684e101433ed1f1cb7725b3c9141.jpg
0f47853ee03b01d4ebbd4283fe827f44.jpg

Sanamu na kaburi
......
Malaria mbaya haijaacha kutuua hadi leo tuwe na tahadhali net,hospital ,matumizi sahihi ya dawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom